Home Education Mwongozo Wa Kigogo Pdf Notes Download – Uchambuzi wa Tamthilia ya Kigogo

Mwongozo Wa Kigogo Pdf Notes Download – Uchambuzi wa Tamthilia ya Kigogo

61

Download mwongozo wa kigogo pdf at the end of the article
mwongozo wa tamthilia ya kigogo
kigogo summary
kigogo notes
kigogo set book
kigogo mwongozo
uchambuzi wa riwaya ya kigogo
โ€œmwongozo wa kigogo notesโ€
download mwongozo wa kigogo
wahusika wa tamthilia ya kigogo
kigogo summary notes
maudhui ya kigogo
maudhui katika kigogo
kigogo tamthilia pdf
maudhui ya tamthilia ya kigogo
sifa za wahusika katika tamthilia ya kigogo

Check KCSE 2018 Results Release Today>>

Description

ANWANI YA TAMTHILIA.

Kigogo ni mtu mwenye madaraka makubwa kiutawala.

Majoka anatumia madaraka yake kulaghai wananchi, anachukua vilivyo vyao.

Anatangaza kipindi cha mwezi mzima cha kusheherekea uhuru kutumia madaraka aliyonayo.

Majoka anafunga soko la Chapakazi ili sehemu hiyo ajenge hoteli ya kifahari kwa kutumia madaraka aliyonayo.

Anapandisha bei ya chakula katika kioski kwa vile ana madaraka.

Majoka anatumia mamlaka yake kumteka na kumtia ndani Ashua.Anamtendea ukatili, Ashua ana majeraha kutokana na kichapo.

Majoka anapanga kifo cha Jabali, mpinzani wake. Anampangia ajali na kuangamiza wapinzani wake pamoja na chama chake kwa kutumia mamlaka yake..

Majoka anapanga kutumia mamlaka yake kuzima uchunguzi wa Tunu kuhusu kifo cha Jabali.

  • ย 

Request the schemes on WhatsApp.>>

Kigogo – Maudhui

Baadhi ya maudhui yanayojitokeza kwenye tamthilia hii ni kama vile:
1. Uongozi mbaya ambao unadhihirika kupitia kwa Majoka kulifunga soko la Chapakazi kwa madai kuwa Ni chafu, kumbe ilikuwa Ni njama ya kuinyakua ardhi hiyo.
– Uongozi wake unafungulia Biashara ya ukatajo miti, Jambo linalosababisha ukame.
– uongozi wake unampa Mama pima kibali Cha kuuza pombe haramu inayowua na kuwapofusha vijana.
– Anatumia hela mikopo kwenye miradi isiyokuwa na manufaa kwa Wanasagamoyo kv; kuchonga kinyago.
– anawauzia wanafunzi dawa za kulevya “sumu ya nyoka’ Jambo linawafanya kutofuzu, wanakuwa makabeji.
– Anawaua wapinzani wake kama vile Jabali.
– Anaifunga runinga ya Mzalendo kwa kupeperusha maandamano ya kina Tunu.
2. Ujinga
– Anatangaza kipindi cha mwezi mzima wa Mapumziko.
– Uongozi wake unajivunia kuwa na kampuni kubwa ya kutengeneza sumu ya nyoka barani Afrika. dawa hizo zinamuua mwanaye Ngao Junior.
– Asiya anamgawia ngurumo uroda ili amsaidie kupata kandarasi ya kuoka keki ya Uhuru.
– Majoka anawaita wanasagamoyo wajinga.
– Boza na Kombe wanaparamia masazo ya keki ya Uhuru bila kutambua kuwa ilikuwa imeliwa kwingine.
– Mama pima anawauzia wenzake pombe haramu inayowaua na kuwapofusha.
3. Ufisadi
– Majoka anainyakua ardhi ya soko la Chapakazi na kumtengea Kenga kipande.
– Majoka anataka Ashua amhonge kwa uroda ndipo amsaidie chakula.
– Uongozi wa Majoka unawanunulia vijana pombe ili kuunga mkono.
– Mama pima anamhonga Ngurumo leave uroda ili amsaidie kupata kandarasi ya kuoka keki ya Uhuru.
– Mshauri mkuu wa Majoka, Kenga Ni binamu yake.
4. Ukatili
– Majoka anamuua Jabali mpinzane wake wa awali.
Majoka anamfungia Ashua kwa madai ya kuzua fujo kwenye ofosi ya umma.
-Majoka analifunga soko la Chapakazi lililokuwa likitegemewa na Wanasagamoyo.
– Majoka anaeatuma majambazi kumuua Tunu, lakini wanaishia kumvunja tu mguu.
– Majoka anaamuru Askari kuwafyatulia waandamanaji risasi na kuwaua.
– Baada ya kulifunga soko Majoka anapandisha Bei ya chakula maradufu katika kioski Cha kampuni yake.
Yapo mengi kama vile: usaliti, nafasi ya mwanamke, nafasi ya vijana, ulevi, umaskini, ukiukaji wa haki, elimu, ukabila miongoni mwa mengine mengi. Jihisi huru kuyajadili hapa…

NAFASI YA MWANAMKE
1. Mwanamke ni katili-
Mamapima anawauzia wanasagamoyo wenzake pombe haramu inayowaua na kuwapofusha Wengine.
2. Mwanamke ni mwenye mapinduzi
Tunu anaongoza harakati za mapinduzi dhidi ya Uongozi dhalimu wa Majoka kwa ushirikiano wa Sudi.
3. Mwanamke ni msomi
Tunu Ana shahada na uanasheria inayomwezesha kutetea haki za Wanasagamoyo dhidi ya Uongozi dhalimu wa Majoka.
Ashua pia Ana shahada ya ualimu lakini anauza maembe sokoni Licha ya kupewa kazi kwenye shule za Majoka and Majoka Academy anazodai Ni za kihuni.
4. Mwanamke ni Jasiri
Licha ya kuvunjwa mguu, Tunu anaendeleza mapinduzi Hadi anafanikiwa kumwondoa Majoka mamlakani.
Pia anafahamu ukatili wa Majoka lakini anamweleza waziwazi kuwa watalipa kila tone la damu walilomwaga Sagamoyo.
5. Mwanamke ni mwenye wivu
Husda anapigana na Ashua ofisini mwa Majoka akidai kuwa amekuja kumnyanganya mume.
6. Mwanamke ni Mwasherati
Mamapima anamgawia ngurumo uroda ili amsaidie kupata kandarasi ya kuoka keki ya Uhuru
7. Mwanamke ni Mwenye uchu
Husda anapomwona Chopi, anaanza kutembea kwa maringo huku akionyesha macho ya uchu.
TUENDELEZE MJADALA…. ZIPO TELE

Download Mwongozo wa tamthilia ya kigogo

https://www.infolinks.co.ke/kcse-set-books-2019/ย 

3.9 16 votes
Article Rating
61 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments

Woow amazing notes

Nicy one

i appreciate the notes, they are realy helpful

wow its nice

congrats

mmmmh nyce notes but elaborate further

notex r very xweet men

nice and summerised notes and i like them…

You just made my homework ten times easier….thanks!!

wow i like it itz that much perfect

congrats

Haa! Poulne kea kwa kweli unaweza hasa viongozi wetu ni majoka tu

Thanks to pauline kea good elaborate notes

thankx 4 the notex they r nice

thanks alot..may God bless yu

Good notes

Easy to read notes and understand them

Easy to read notes and understand them

My homework got eรฅsier

good notes to A Plain

Waaaw starnderd notes

Nice notes

Thx made everything much easier

manze endelea kutuokolea

kazi nzuri

good notes

I like it

kazi poa sana

job well done pick up tu sana

nzuri

Your Comment From the information provided I believe that this guide book will assist me in revising this text

Your Comment I really appreciate, they are such nice guide

please I need the guidance to get the notes

woooo they have help me so much

Pick up good notes

Swadakta……๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ

Nice notes for revision,thkx.

itume Kwa youtube go

Please mniseva notes za kigogo na choz

nice one mzidi kueka mengi

indeed good notes

Nawapongeza sana kwa hizo notes Mola azidi kukuongezea maarifa za kuandika zingine asante sana.

I like the story setbook

as I like a student I enjoy reading the kigogo because it has an interested story

this is deffinately outstanding ..๐Ÿ˜ also make an app and fix it at playstore

They are good note and easy to laborate

how can i download the notes

good notes

coool

thanks kwa izo notes very helpful to our students

vyema sans

The notes are actually nyce I like them