Download mwongozo wa kigogo pdf at the end of the article
mwongozo wa tamthilia ya kigogo
kigogo summary
kigogo notes
kigogo set book
kigogo mwongozo
uchambuzi wa riwaya ya kigogo
โmwongozo wa kigogo notesโ
download mwongozo wa kigogo
wahusika wa tamthilia ya kigogo
kigogo summary notes
maudhui ya kigogo
maudhui katika kigogo
kigogo tamthilia pdf
maudhui ya tamthilia ya kigogo
sifa za wahusika katika tamthilia ya kigogo
Check KCSE 2018 Results Release Today>>
Description
ANWANI YA TAMTHILIA.
Kigogo ni mtu mwenye madaraka makubwa kiutawala.
Majoka anatumia madaraka yake kulaghai wananchi, anachukua vilivyo vyao.
Anatangaza kipindi cha mwezi mzima cha kusheherekea uhuru kutumia madaraka aliyonayo.
Majoka anafunga soko la Chapakazi ili sehemu hiyo ajenge hoteli ya kifahari kwa kutumia madaraka aliyonayo.
Anapandisha bei ya chakula katika kioski kwa vile ana madaraka.
Majoka anatumia mamlaka yake kumteka na kumtia ndani Ashua.Anamtendea ukatili, Ashua ana majeraha kutokana na kichapo.
Majoka anapanga kifo cha Jabali, mpinzani wake. Anampangia ajali na kuangamiza wapinzani wake pamoja na chama chake kwa kutumia mamlaka yake..
Majoka anapanga kutumia mamlaka yake kuzima uchunguzi wa Tunu kuhusu kifo cha Jabali.
- ย
Request the schemes on WhatsApp.>>
Kigogo – Maudhui
Baadhi ya maudhui yanayojitokeza kwenye tamthilia hii ni kama vile:
1. Uongozi mbaya ambao unadhihirika kupitia kwa Majoka kulifunga soko la Chapakazi kwa madai kuwa Ni chafu, kumbe ilikuwa Ni njama ya kuinyakua ardhi hiyo.
– Uongozi wake unafungulia Biashara ya ukatajo miti, Jambo linalosababisha ukame.
– uongozi wake unampa Mama pima kibali Cha kuuza pombe haramu inayowua na kuwapofusha vijana.
– Anatumia hela mikopo kwenye miradi isiyokuwa na manufaa kwa Wanasagamoyo kv; kuchonga kinyago.
– anawauzia wanafunzi dawa za kulevya “sumu ya nyoka’ Jambo linawafanya kutofuzu, wanakuwa makabeji.
– Anawaua wapinzani wake kama vile Jabali.
– Anaifunga runinga ya Mzalendo kwa kupeperusha maandamano ya kina Tunu.
2. Ujinga
– Anatangaza kipindi cha mwezi mzima wa Mapumziko.
– Uongozi wake unajivunia kuwa na kampuni kubwa ya kutengeneza sumu ya nyoka barani Afrika. dawa hizo zinamuua mwanaye Ngao Junior.
– Asiya anamgawia ngurumo uroda ili amsaidie kupata kandarasi ya kuoka keki ya Uhuru.
– Majoka anawaita wanasagamoyo wajinga.
– Boza na Kombe wanaparamia masazo ya keki ya Uhuru bila kutambua kuwa ilikuwa imeliwa kwingine.
– Mama pima anawauzia wenzake pombe haramu inayowaua na kuwapofusha.
3. Ufisadi
– Majoka anainyakua ardhi ya soko la Chapakazi na kumtengea Kenga kipande.
– Majoka anataka Ashua amhonge kwa uroda ndipo amsaidie chakula.
– Uongozi wa Majoka unawanunulia vijana pombe ili kuunga mkono.
– Mama pima anamhonga Ngurumo leave uroda ili amsaidie kupata kandarasi ya kuoka keki ya Uhuru.
– Mshauri mkuu wa Majoka, Kenga Ni binamu yake.
4. Ukatili
– Majoka anamuua Jabali mpinzane wake wa awali.
Majoka anamfungia Ashua kwa madai ya kuzua fujo kwenye ofosi ya umma.
-Majoka analifunga soko la Chapakazi lililokuwa likitegemewa na Wanasagamoyo.
– Majoka anaeatuma majambazi kumuua Tunu, lakini wanaishia kumvunja tu mguu.
– Majoka anaamuru Askari kuwafyatulia waandamanaji risasi na kuwaua.
– Baada ya kulifunga soko Majoka anapandisha Bei ya chakula maradufu katika kioski Cha kampuni yake.
Yapo mengi kama vile: usaliti, nafasi ya mwanamke, nafasi ya vijana, ulevi, umaskini, ukiukaji wa haki, elimu, ukabila miongoni mwa mengine mengi. Jihisi huru kuyajadili hapa…
NAFASI YA MWANAMKE
1. Mwanamke ni katili-
Mamapima anawauzia wanasagamoyo wenzake pombe haramu inayowaua na kuwapofusha Wengine.
2. Mwanamke ni mwenye mapinduzi
Tunu anaongoza harakati za mapinduzi dhidi ya Uongozi dhalimu wa Majoka kwa ushirikiano wa Sudi.
3. Mwanamke ni msomi
Tunu Ana shahada na uanasheria inayomwezesha kutetea haki za Wanasagamoyo dhidi ya Uongozi dhalimu wa Majoka.
Ashua pia Ana shahada ya ualimu lakini anauza maembe sokoni Licha ya kupewa kazi kwenye shule za Majoka and Majoka Academy anazodai Ni za kihuni.
4. Mwanamke ni Jasiri
Licha ya kuvunjwa mguu, Tunu anaendeleza mapinduzi Hadi anafanikiwa kumwondoa Majoka mamlakani.
Pia anafahamu ukatili wa Majoka lakini anamweleza waziwazi kuwa watalipa kila tone la damu walilomwaga Sagamoyo.
5. Mwanamke ni mwenye wivu
Husda anapigana na Ashua ofisini mwa Majoka akidai kuwa amekuja kumnyanganya mume.
6. Mwanamke ni Mwasherati
Mamapima anamgawia ngurumo uroda ili amsaidie kupata kandarasi ya kuoka keki ya Uhuru
7. Mwanamke ni Mwenye uchu
Husda anapomwona Chopi, anaanza kutembea kwa maringo huku akionyesha macho ya uchu.
TUENDELEZE MJADALA…. ZIPO TELE
Download Mwongozo wa tamthilia ya kigogo
https://www.infolinks.co.ke/kcse-set-books-2019/ย
Woow amazing notes
Nicy one
i appreciate the notes, they are realy helpful
wow its nice
congrats
mmmmh nyce notes but elaborate further
notex r very xweet men
nice and summerised notes and i like them…
You just made my homework ten times easier….thanks!!
wow i like it itz that much perfect
congrats
Haa! Poulne kea kwa kweli unaweza hasa viongozi wetu ni majoka tu
Thanks to pauline kea good elaborate notes
thankx 4 the notex they r nice
thanks alot..may God bless yu
Good notes
Easy to read notes and understand them
Easy to read notes and understand them
My homework got eรฅsier
good notes to A Plain
Waaaw starnderd notes
Nice notes
Thx made everything much easier
manze endelea kutuokolea
kazi nzuri
good notes
I like it
kazi poa sana
job well done pick up tu sana
nzuri
Your Comment From the information provided I believe that this guide book will assist me in revising this text
Your Comment I really appreciate, they are such nice guide
please I need the guidance to get the notes
woooo they have help me so much
Pick up good notes
Swadakta……๐๐
Nice notes for revision,thkx.
itume Kwa youtube go
Please mniseva notes za kigogo na choz
nice one mzidi kueka mengi
indeed good notes
Nawapongeza sana kwa hizo notes Mola azidi kukuongezea maarifa za kuandika zingine asante sana.
I like the story setbook
as I like a student I enjoy reading the kigogo because it has an interested story
this is deffinately outstanding ..๐ also make an app and fix it at playstore
They are good note and easy to laborate
how can i download the notes
good notes
coool
thanks kwa izo notes very helpful to our students
vyema sans
The notes are actually nyce I like them