Home Education Chozi La Heri Mwongozo – Summary Download Pdf

Chozi La Heri Mwongozo – Summary Download Pdf

13

Mwongozo wa Chozi La Heri

  • Chozi La Heri Summary
  • Chozi La Heri Uchambuzi
  • Chozi La Heri Mwongozo
  • Chozi La Heri Mwongozo Pdf
  • Uchambuzi Wa Chozi La Heri
  • Wahusika Katika Chozi La Heri
  • Download Chozi La Heri
  • Assumpta Matei

Chozi la Heri na Assumpta K.Matei

Mungu wangu! Huyu si ndugu yangu Mwaliko?” alisema Umu kimyakimya. Dick naye alikuwa kaghumiwa, hajui ia kusema. Anamtazama mnuna wake kana kwamba ni Mr Super Man katika sinema za kijasiri. Wote wawili walitazamana, kila mmoja akiapa moyoni kuwa amewahi kumwona kiumbe huyu mahali, lakini hakuna aliyethubutu kunena.

Tamaa ya kumiliki nyenzo za kujiinua kiuchumi na kisiasa, kama inavyodhihirika katika riwaya hii, inasambaratisha asasi za kijamii, pamoja na miundomsingi ya mshikamano wa kijamii. Maazimio yasiyofikiwa yanazua hali ya kuvunjikiwa—kihoro hasa. Lakini baada ya kiza kizito huja mawio ya uzawa wa jamii mpya yenye matumaini.

3.6 10 votes
Article Rating
13 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments

ni maudhui yapi hupatikana katika riwaya ya chozi la heri

Maudhui ya malezi

Jadili jinsi maudhui ya kifo yamejitokeza katika riwaya ya chozi la hero

Please put up maudhui ya nafasi ya mwanamke,ujenzi wa jamii and ukimbizi for chozi la heri

it is nice

maudhui katika chozi la heri ni mengi

Good work

hakikisha umeyaongezea maudhui yale ambayo hayapo hapa,ili kuwafaidi wengine

Good

Wow

good work but ningependelea kupata ufaafu wa anwani chozi la heri

for revisions

for revisions